TEKU IS A HOME OF WISDOM AND PEACE..WELCOME ALL

UONGOZI MPYA WA TEKU TABORA CAMPUS WAAPISHWA CHINI YA JAJI MFAWIDHI MKAZI MKOANI TABORA

 Rais wa TEKUSO Baraka Mohamed aapishwa na Mh. Issa Magori hakimu mfawidhi mkazi mkoa wa Tabora
 Makamu wa Rais wa TEKUSO Kalunde Musa aapishwa na Mh. Issa Magori hakimu mfawidhi mkazi mkoa wa Tabora
 wakipongezana baada ya kuapishwa
 wapigiwa makofi kushangilia zoezi kukamilika
 kazi ya tume ya uchaguzi kuwapamba baada ya kuapishwa

 Mgeni rasmi (afisa elimu mkoa wa Tabora) akimpongeza rais baada ya kuapishwa na kulia ni "dean of students"

wajitokeza kumpongeza rais wao

 akipokea zawadi ya cheti kama zzawadi kwa serikali ya uongozi uliopita


 Nziku
 Mwasity
 akipokea cheti cha kuwa katibu wa serikali iliyopita


 kutoka kulia ni rais, waziri wa fedha na waziri wa mambo ya jamii wote kutoka TUMBI chuo cha kilimo

 Mgeni rasmi akiwa katika picha ya pamoja na wageni waalikwa
 Kulia ni Rais Baraka Mohamed, mgeni rasmi afisa wa elimu mkoa wa Tabora, Kalunde Musa na dada wa rais
 Rais na Makamu wa Rais
 Mgeni rasmi (kulia) na Issa Migori hakimu mfawidhi mkazi
Kushoto ni Kitururu (CHAIRPERSON ,TEKUSO TEKUSO ELECTORAL COMMITTEE.



 SERIKALI MPYA YA TEKU PAMOJA NA SERIKALI WAWAKILISHI WA SERIKALI YA TUMBI
 wapili kutoka kushoto ni rais wa chuo cha ardhi Tabora
 ******************************************