TEKU IS A HOME OF WISDOM AND PEACE..WELCOME ALL

LAPF WAENDESHA SEMINA KWA VIONGOZI WANAVYUO VYA TABORA; DR. TIBATEGEZA AFUNGUA SEMINA HIYO

DR. TIBATEGEZA ALIYESIMAMA AMBAYE NI MAKAMU MKUU WA CHUO CHA AMUCTA (CHUO KISHIRIKI CHA SAUT) AKIFUNGUA SEMINA YA MFUKO WA JAMII WA "LAPF"
DR. TIBATEGEZA AKITOA HOTUBA FUPI KWA WAWAKILISHI MBALIMBALI WA VYUO VILIVYOPO TABORA, HOTUBA YAKE FUPI ILIYOLENGA KUWAPA UFAHAMU WANACHUO HAO PINDI WACHAGUAPO MIFUKO YA KUJIUNGA WAWE MAKINI SANA ILI KUJIJENGEA UHAKIKA WAWAPO KAZINI KWA WATAKAO AJILIWA, PIA AMETOA WITO KWA WANALENGWA NA HAJA NA FAIDA ZA MFUKO HUO KUUPA KIPAUMBELE KAMA MIONGONI MWA FAIDA ZA KUFAIDISHA MAFANIKIO YA MAISHA YAO PINDI WAINGIAPO KAZINI
MR. RAMADHAN MGAYA, THE SENIOR COMPIANCE OFFICER-LAPF CENTRAL ZONE, AKIONGEA NA WANAVYUO KABLA YA SEMINA KUANZA
KULIA NI ZACHARIA MACHOKE-LAPF (ZONAL MANAGER, CENTRAL ZONE)
MKOOSI LORINYU, KAMISHNA WA TAHLISO KANDA YA MAGHARIBI, WAZIRI MKUU MSTAAFU WA SERIKALI YA AMUCTA NA PIA NI MUAANDAJI WA SEMINA HII
WANAVYUO WAKIWA KATIKA SEMINA
KULIA: ELIFURAHA NA KULIA NI SPIKA WA BUNGE WA BUNGE LA SERIKALI YA AMUCTA
MWEZESHAJI WA SEMINA BW. MGAYA AKIKOKOTOA MAHESABU YA NAMNA MWANACHAMA ATAENDESHA MAHESABU YAKE
KUSHOTO: KALUNDE AMBAYE NI MAKAMU WA RAIS WA TEKU-TABORA
KATIKA PICHA YA PAMOJA
PICHA NA ALOYSONBLOG: http://www.aloyson.com/

****

HII NI SEMINA YA AWALI ALIYOALIKA VIONGOZI MABALIMBALI WA VYUO VYA TABORA AMBAO WAO WATAKUWA MABALOZI WA VYUO VYAO HUSIKA ILI KUANDA SEMINA ZA NDANI YA VYUO HIVYO.

SEMINA HII ILILENGA KUTOA UFAHAMU, FAIDA NA KUTOA WIGO WA WANAVYUO WENGI WATAKAOPATA AJIRA KUTAMBUA MIFUKO YENYE MANUFAA KWAO.

Chuo Cha Teofilo Kisanji (TEKU-MBEYA) Wawagaragaza Chuo Cha Mt. Agustino (SAUT-SONGEA)


wachezaji wa mpira wa pete kutoka chuo cha  TEKU kabla ya kuanza mchezo
wachezaji wa mpira wa pete kutoka chuo kikuu cha SAUT kabla ya mchezo
wachezaji wa SAUT na TEKU wakiendelea na mchezo wa mpira wa pete
wazezaji wa volleyball wakipambana katika uwanja wa zimanimoto
Baadhi ya mashabiki waliokuwa wakifuatilia pambano
Waamuzi wa pambano kati ya TEKU na SAUT mpira wa miguu
kabla ya kuanza mchezo
wachezaji SAUT
wachezaji TEKU

mashabiki wakishuhudia upigaji wa penati
************************************************************************************
Na songeayetu.blogspot.com 
WANAFUNZI wa chuo kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) kutoka mkoani Mbeya wameweza kuichapa timu ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Mt.Agustino tawi la Songea kwenye mchezo wa kirafiki wa mpira wa miguu uliofanyika katika uwanja wa Majimaji uliopo kwenye manispaa ya Songea.

Mchezo huo ulitanguliwa na michezo mingine ambapo awali kulikuwa na mchezo wa pete kwa wasichana ambapo TEKU waliweza kuilaza timu ya wasichana kwa jumla ya alama kumi na mbili kwa alama saba, huku mchezo mwingine ulikuwa ni mpira wa wavu ambapo SAUT waliweza kuishinda licha ya kupoteza michezo mingine miwili japokuwa wao wakiwa wenyeji wa mchezo huo.

Kwa upande wa mpira wa miguu, katika muda wa dakika tisini wachezaji hao waliweza kutoka bila kufungana na baada ya wachezaji hao kuhitaji mshindi apatikane ndipo walipoamua kupigwa kwa penati ambapo wachezaji wa SAUT waliweza kupoteza penati tatu huku TEKU wakipoteza penati moja kati ya penati tano zilizopigwa. 

UONGOZI MPYA WA TEKU TABORA CAMPUS WAAPISHWA CHINI YA JAJI MFAWIDHI MKAZI MKOANI TABORA

 Rais wa TEKUSO Baraka Mohamed aapishwa na Mh. Issa Magori hakimu mfawidhi mkazi mkoa wa Tabora
 Makamu wa Rais wa TEKUSO Kalunde Musa aapishwa na Mh. Issa Magori hakimu mfawidhi mkazi mkoa wa Tabora
 wakipongezana baada ya kuapishwa
 wapigiwa makofi kushangilia zoezi kukamilika
 kazi ya tume ya uchaguzi kuwapamba baada ya kuapishwa

 Mgeni rasmi (afisa elimu mkoa wa Tabora) akimpongeza rais baada ya kuapishwa na kulia ni "dean of students"

wajitokeza kumpongeza rais wao

 akipokea zawadi ya cheti kama zzawadi kwa serikali ya uongozi uliopita


 Nziku
 Mwasity
 akipokea cheti cha kuwa katibu wa serikali iliyopita


 kutoka kulia ni rais, waziri wa fedha na waziri wa mambo ya jamii wote kutoka TUMBI chuo cha kilimo

 Mgeni rasmi akiwa katika picha ya pamoja na wageni waalikwa
 Kulia ni Rais Baraka Mohamed, mgeni rasmi afisa wa elimu mkoa wa Tabora, Kalunde Musa na dada wa rais
 Rais na Makamu wa Rais
 Mgeni rasmi (kulia) na Issa Migori hakimu mfawidhi mkazi
Kushoto ni Kitururu (CHAIRPERSON ,TEKUSO TEKUSO ELECTORAL COMMITTEE.



 SERIKALI MPYA YA TEKU PAMOJA NA SERIKALI WAWAKILISHI WA SERIKALI YA TUMBI
 wapili kutoka kushoto ni rais wa chuo cha ardhi Tabora
 ******************************************